Monday, January 9, 2012

Sikiliza mahojiano kati ya DW na Hamad Rashid Mohammed


hamad-rashid
Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohammed
Baada ya chama cha CUF nchini Tanzania kumfukuza uwanachama Mbunge Hamad Rashid , Mbunge huyo aibuka na kusema yeye bado mwanachama halali wa chama hicho. Anaeleza mambo yakiwa mabaya zaidi upande wake ataanzisha chama kipya cha siasa.
Sudi Mnette amezungumza na Mbunge huyo wakati akifanya mkutano wake na waandishi wa habari muda mfupi uliyopita jijini Dar es salaam leo hii. Bonyeza hapa

No comments:

Post a Comment