Ripoti hii imetaja uzembe kama chanzo cha ajali, idadi kamili ya wailokuwemo katika meli na walikufa, mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa dhidi ya wahusika na fidia kwa waliothiriwa.
Kutoka huko Zanzibar Sudi Mnette amezungumza na mwandishi Issa Yusuf na kwanza nilitaka ufafanuzi wa chanzo cha ajali hiyo.
No comments:
Post a Comment